BALOZI MBAROUK AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA SERBIA
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Serbia, mwenye makazi yake Roma, Italia, Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Serbia, Mhe. Aleksandar Vučić, katika… Read More


